Watu wenye matatizo ya akili mitaani | Masai & Mau Minibuzz Comedy

Kumwaibisha mtu hadharani ni njia sahihi ya kumuadhibu mtu? Minibuzz ni kipindi chenye kujadili masuala yanayotokea kila siku ya maisha yetu kinachorekodiwa ndani ya daladala katika mitaa ya Tanzania. Kipindi hiki hurushwa na Star TV mara mbili kwa siku saa 12.30 jioni na saa 5 usiku na Jumamosi marudio ya wiki. Minibuzz is a current affairs and debating program filmed daily in a daladala (commuter minibus) on the streets of Tanzania. The program is broadcasted by Star TV twice daily at 6.30 pm and 11 pm with an omnibus on Saturday. Hit the Subscribe button to stay updated about new Minibuzz sketches & discussion! Like us on Facebook: www.facebook.com/minibuzz.tanzania