Kuna watu wanaweza kuigiza sauti ya mtu alafu ukiwasikiliza unacheka na kubaki mdomo wazi... huyu jamaa ni miongoni mwa hao Mamaster, mtazame alafu uniambie kampatia nani zaidi.
Jamaa kaigilizia sauti ya Jakaya Kikwete mpaka Watu wakacheka
Jk Comedian alivyokutana kwa mara ya kwanza na Rais mstaafu Kikwete
OSCAR NYERERE ALIVYOTISHA NA SAUTI YA RAIS MAGUFULI HARUSINI
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
J K Comedian alipoiga sauti za Rais Magufuli na Kikwete mbele ya makamu wa Rais Mama Samia
JK Comedian alivyoigiza sauti ya JPM, Mama Rwakatare na Masanja
Steve Nyerere Kapilitiza Kuiga Sauti
South Africa-Mandela and Nyerere news conference